Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Hello wana jf
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.
Je, endapo mgomba utapandwa karibu kabisa na ukuta wa nyumba (nje ya dirisha) mizizi yake inaweza leta madhara kwenye ukuta?
Karibu unielimishe.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Husika na kichwa cha uzi hapo juu.
Je, endapo mgomba utapandwa karibu kabisa na ukuta wa nyumba (nje ya dirisha) mizizi yake inaweza leta madhara kwenye ukuta?
Karibu unielimishe.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app