Je, mjane wa marehemu anaweza kuendelea kupata asilimia fulani ya (pensheni)aliyokuwa anapokea marehemu?

Je, mjane wa marehemu anaweza kuendelea kupata asilimia fulani ya (pensheni)aliyokuwa anapokea marehemu?

jonas255

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
225
Reaction score
110
Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37

Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki tano kwa mwezi(500000) Mwaka jana mwezi january alifariki dunia.

Naomba kujua kama mjane wa marehemu anaweza kuendelea kupata asilimia flani ya kiasi(pensheni) alichokua anapokea marehemu
 
Alikua anachangia mfuko gani?

Kwa nijuavyo, hakuna malipo mengine yoyote kwa mjane kwakuwa tayari mstaafu alikua ameshalipwa pensheni.

Mstaafu angefariki kabla hajapokea pensheni basi mama ndo angepokea pensheni kwa miaka 3 kama sikosei.

Jibu swali langu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza mimi mzee wangu alikuwa mwalim shul ya msing ila amefariki na tulipata mirath je mjane naendelea kupokea pension au ile iliyoyolewa ndio basi?
 
Naomba kuuliza mimi mzee wangu alikuwa mwalim shul ya msing ila amefariki na tulipata mirath je mjane naendelea kupokea pension au ile iliyoyolewa ndio basi?
Watu mna vichwa vigumu dah, mbona swali lako linajijibu hapohapo kwenye hiyo comment uliyoquote? Just twist it unapata jibu
 
Naomba kuuliza mimi mzee wangu alikuwa mwalim shul ya msing ila amefariki na tulipata mirath je mjane naendelea kupokea pension au ile iliyoyolewa ndio basi?
Mstaafu anapokufa na pensheni yake ya kila mwezi nayo inakoma.
 
Mstaafu anapokufa na pensheni yake ya kila mwezi nayo inakoma.
Baba mkwe wangu alifariki 2013 ikiwa ni miaka mitatu kabla ya kustaafu ,mirathi ikatoka 2014,mama mkwe mpaka Leo anachukua malipo kila mwezi kiasi kisichopungua kilo 4.
 
Baba mkwe wangu alifariki 2013 ikiwa ni miaka mitatu kabla ya kustaafu ,mirathi ikatoka 2014,mama mkwe mpaka Leo anachukua malipo kila mwezi kiasi kisichopungua kilo 4.
Labda kwenye case hiyo, pesa ya mafao ya marehemu kwenye kile kiwango halisi alichotakiwa kupewa , hakupewa chote, huyo mama kwe wako, kingine kilibakia ili kila mwezi awe analipwa.lakini utaratibu uliopo ni kuwa mstafu anapofariki tu malipo yake ya pensheni ile ya kila mwezi huzuiliwa.Ndio maana ni lazima kila mwanzoni mwa mwaka, aende mwenyewe kulipoti ili wahakikishe kuwa bado yu hayi!!
 
Labda kwenye case hiyo, pesa ya mafao ya marehemu kwenye kile kiwango halisi alichotakiwa kupewa , hakupewa chote, huyo mama kwe wako, kingine kilibakia ili kila mwezi awe analipwa.lakini utaratibu uliopo ni kuwa mstafu anapofariki tu malipo yake ya pensheni ile ya kila mwezi huzuiliwa.Ndio maana ni lazima kila mwanzoni mwa mwaka, aende mwenyewe kulipoti ili wahakikishe kuwa bado yu hayi!!
Kwenye penshen ya mirathi ikotokea marehemu amefariki na ana watoto wadogo chin ya miaka 18 na alitimiza miaka 15 kazini basi yule msimamizi wa mirath atakuwa anapewa penshen kula mwez had pale mtoto mdogo atakapotimiza miaka 18 kama mwanafunzi 21, lengo ni kuwasaidia watoto wa marehemu waweze kusoma. Ila ni lazima marehemu awe katimiza miaka 15 kazini ndio penshionable age kwa sheria zetu, ndio maana haajiriw mtu mwenye zaid ya miaka 45 kwa masharti ya permanent n pensionable.
 
Kwenye penshen ya mirathi ikotokea marehemu amefariki na ana watoto wadogo chin ya miaka 18 na alitimiza miaka 15 kazini basi yule msimamizi wa mirath atakuwa anapewa penshen kula mwez had pale mtoto mdogo atakapotimiza miaka 18 kama mwanafunzi 21, lengo ni kuwasaidia watoto wa marehemu waweze kusoma. Ila ni lazima marehemu awe katimiza miaka 15 kazini ndio penshionable age kwa sheria zetu, ndio maana haajiriw mtu mwenye zaid ya miaka 45 kwa masharti ya permanent n pensionable.
Marehemu anafariki, tetetete
 
Back
Top Bottom