Tafta hela kijana ,,Mm binafsi Kuna madeni ambayo nadaiwa ni zaidi ya laki 2 kwa watu tofauti Ila sitaki MKE wangu ajue hata Kama nilifanya matumizi ya ndani.
Je? Kuna hasara ,madhara au faida gani kumshirikisha mkeo kwenye madeni yako?
gentleman,Mm binafsi Kuna madeni ambayo nadaiwa ni zaidi ya laki 2 kwa watu tofauti Ila sitaki MKE wangu ajue hata Kama nilifanya matumizi ya ndani.
Je? Kuna hasara ,madhara au faida gani kumshirikisha mkeo kwenye madeni yako?
Laki mbili usimwambie subiri angalau ifike 2m ndio umwambie.Mm binafsi Kuna madeni ambayo nadaiwa ni zaidi ya laki 2 kwa watu tofauti Ila sitaki MKE wangu ajue hata Kama nilifanya matumizi ya ndani.
Je? Kuna hasara ,madhara au faida gani kumshirikisha mkeo kwenye madeni yako?