BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Huyo ndo bichwa komwe, mjibu kisayansi na wengine wenye hali hiyo wapate maarifa.Kuna threads ukizisoma utacheka ru, halafu unaanza kujiuliza maswali...
Kwanin sasa! BOMU na mkojo vinaingilianaje?Vinashabiliana Mkuu
Nasubiri majibuHuyo ndo bichwa komwe, mjibu kisayansi na wengine wenye hali hiyo wapate maarifa.
ππππ BICHWA KOMWE - once againKuna ile hali umejikalia zako mara unahisi kwenda kutoa haja ndogo.
Unafika unamaliza haja lakini unabanwa na bomu la hewa chafu unaliachia bwaaaaa...
Kuna wakati mko wengi kwenye choo cha stendi unamaliza kutoa haja halafu bomu linabana mno unajikuta unaliachia kiwizi wizi bana.
Nimetafakari sana nikaenda mpaka kwa baba paroko kupata ushauri naona anajiuma uma tu.
Hili bomu la hewa chafu linatokana na nini wakati wa kukojoa? Mbona nikipizi sibomoki?
Je, hili ni swala la kisayansi?
Umeshalewa njimbo kichaa wewe!πππKuna ile hali umejikalia zako mara unahisi kwenda kutoa haja ndogo.
Unafika unamaliza haja lakini unabanwa na bomu la hewa chafu unaliachia bwaaaaa...
Kuna wakati mko wengi kwenye choo cha stendi unamaliza kutoa haja halafu bomu linabana mno unajikuta unaliachia kiwizi wizi bana.
Nimetafakari sana nikaenda mpaka kwa baba paroko kupata ushauri naona anajiuma uma tu.
Hili bomu la hewa chafu linatokana na nini wakati wa kukojoa? Mbona nikipizi sibomoki?
Je, hili ni swala la kisayansi?
π€£π€£π€£Kuna ile hali umejikalia zako mara unahisi kwenda kutoa haja ndogo.
Unafika unamaliza haja lakini unabanwa na bomu la hewa chafu unaliachia bwaaaaa...
Kuna wakati mko wengi kwenye choo cha stendi unamaliza kutoa haja halafu bomu linabana mno unajikuta unaliachia kiwizi wizi bana.
Nimetafakari sana nikaenda mpaka kwa baba paroko kupata ushauri naona anajiuma uma tu.
Hili bomu la hewa chafu linatokana na nini wakati wa kukojoa? Mbona nikipizi sibomoki?
Je, hili ni swala la kisayansi?
kwanini mnajamba sasa mkikojoa?ka mwanaume inatokeaga ukiwa unakojoa kuna uwezekano wa kujamba
anabomokaKama mwanaume kamili anakumbwa na hali, Je yule ambaye hana marinda itakuwaje?
vp mme wangu waga unajamba?ππππ BICHWA KOMWE - once again
Ko misuli inakuwa imetepeta?Ukikojoa umesimama ni nadra mnoo kujamba, ila ukichuchuma ni aghlabu inatokea hiyo hali, nadhani ni sababu ya misuli, unapochuchuma kuna na kuruhusu misuli ya mkojo iachie na ile mingine inaachia, na ndio maana kwenye kukata gogo kama una mkojo nao utatoka tu.
eeeeh πUmeshalewa njimbo kichaa wewe!πππ
NB;Chunga usijinyee kwenye sarawili choo cha stendi.
Dokta toa ushauri wa kisayansiπ€£π€£π€£