princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
jibu swali[emoji23]Duh ..
Interesting....
Hebu kwanza tuelezee huo mkojo una nini cha kufanya mtu asahau?habari jamani;
hivi mkojo unatumika kusahaulisha stress za mapenzi tu?
au hata stress zingine?! kama mfano mtu kafiwa gafla ameumia sana mpaka inakaua ngumu kujizuia
unaweza mpa mkojo wake akanywa akanuiza akasahau?
kwa mfano una stress za mapenziHebu kwanza tuelezee huo mkojo una nini cha kufanya mtu asahau?
jibu swali[emoji23]
ningekua mtoto wa mganga hata nisingekuja kuuliza huku..We mtoto wa mganga?
nasikia kuna na mishumaaHizi habari za mkojo zipo sana mjini Insta ila mahusiano ya mkojo na kusahau ndio hayaeleweki yawezekana imekaa kiimani zaidi yawezekana unapona/unasahau kwa imani yako tu na si mkojo kama kikombe cha Ambilikile
Hii sijaipata Princess, mishumaa nayo inatumika kuwasaidia kusahau??nasikia kuna na mishumaa
Hebu fanya hivyo kwanza wewe tuone kama kweli utanisahai mimi.kwa mfano una stress za mapenzi
umeachwa au mwanammke anakuzingua au mwanaume
sasa unataka kumsahau haraka maana anakunyima raha..
unakojoa kwenye kikopo kdg
halafu unakunywa kidogo
huku unasema labda " kwanzia leo aisha nikusahau, sikutaki tena nikusahau kabisaa"
basi kwanzia hapo utamsahau..
kesho yake utaamka umeshaanza kumsahau
mishumaa sijui kazi yake..Hii sijaipata Princess, mishumaa nayo inatumika kuwasaidia kusahau??
nakusahau kabisaHebu fanya hivyo kwanza wewe tuone kama kweli utanisahai mimi.
[emoji74] [emoji74] ile mitaa huwa napita ila huwa nakuwa ndani ya basi la mwendokasi ntafuatilia ila naamini haya masuala yako kiimani zaidi kama imani yako iko huko basi mkojo na mshumaa vyote vinaweza kukusaidiamishumaa sijui kazi yake..
nenda kwq usipojipanga[emoji23][emoji23]
serious?Mtu akingatwa na nyoka MPE mkojo wake