msovero
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 863
- 1,534
Ikiwa serikali inasema kipaumbele kwenye ajira 6000 zilizotangazwa na Rais, Samia kuwa ni walimu waliojitolea, mkuu wa mkoa wa Katavi bw. Juma Homera, amewahi kupiga marufuku walimu hao kufundisha katika mkoa wake na kudai Serikali inaajiri walimu kila siku.
Msikilize kwenye video hapa chini.
Je, kama serikali itaendelea na msimamo wake wa kuajiri walimu waliojitolea haioni kwamba itakuwa haiwatendei haki walimu hawa walioonesha nia ya dhati ya kujitolea lakini wakakataliwa na mkuu wa mkoa na maeneo mengine???
Msikilize kwenye video hapa chini.