chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nimeona video mtandaoni ya DC Morogoro akiwa kalewa chakari huku anashikashika sehemu za siri za binti/mwanamke.
Inafahamika kwamba huyu DC ameoa, na aliyekuwa naye akimpapasa uchi sio mkewe.
Huyu ndio anatakiwa kusimamia kampeni dhidi ya ukimwi, mimba mashuleni,maadili katika jamii ya morogoro, kuzuia ulevi uliokithiri, na kuheshimu utu wa mwanamke.
Je, ataweza?
Inafahamika kwamba huyu DC ameoa, na aliyekuwa naye akimpapasa uchi sio mkewe.
Huyu ndio anatakiwa kusimamia kampeni dhidi ya ukimwi, mimba mashuleni,maadili katika jamii ya morogoro, kuzuia ulevi uliokithiri, na kuheshimu utu wa mwanamke.
Je, ataweza?