amtafute gigymoney wacheze kikang kangiCCM na uadilifu wapi na wapi
Siri isiletwe hadharani basi!Huwez kumpangia mtu matumizi ya sehem zake za Siri
[emoji23][emoji23][emoji23]Atamteua GiGy Money kuwa balozi wa maadili hapo Morogoro
Yaani mtu anashika kibumb,karekodiwa, anapata nafasi ya UDC? Anaonekana anatia madole sehemu za siri za mwanamke?amtafute gigymoney wacheze kikang kangi
Na ataweka kibwagizo chake cha mwimbo wa PapaAtamteua GiGy Money kuwa balozi wa maadili hapo Morogoro
Ukishamuona mtu anaamua kuuza utu wake ili apate pesa basi mdharau tuNimeona video mtandaoni ya DC Morogoro akiwa kalewa chakari huku anashikashika sehemu za siri za binti/mwanamke.
Inafahamika kwamba huyu DC ameoa, na aliyekuwa naye akimpapasa uchi sio mkewe.
Huyu ndio anatakiwa kusimamia kampeni dhidi ya ukimwi, mimba mashuleni,maadili katika jamii ya morogoro, kuzuia ulevi uliokithiri, na kuheshimu utu wa mwanamke
Je? Ataweza?
Yeye ni K-vant na vidoshoNimeona video mtandaoni ya DC Morogoro akiwa kalewa chakari huku anashikashika sehemu za siri za binti/mwanamke.
Inafahamika kwamba huyu DC ameoa, na aliyekuwa naye akimpapasa uchi sio mkewe.
Huyu ndio anatakiwa kusimamia kampeni dhidi ya ukimwi, mimba mashuleni,maadili katika jamii ya morogoro, kuzuia ulevi uliokithiri, na kuheshimu utu wa mwanamke
Je? Ataweza?
Hapa Arusha tulikuwa tunamuita mzee wa shingo ndefu kwa jinsi anavyo ipenda na kuithamini K-vantAtamteua GiGy Money kuwa balozi wa maadili hapo Morogoro