FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Terminal ya BRT (mwendokasi) huko Mbagala inatarajiwa kuwa na muonekano huu. Na ile tabia ya kupitia dirishani itapotea kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Terminal ya BRT (mwendokasi) huko Mbagala inatarajiwa kuwa na muonekano huu. Na ile tabia ya kupitia dirishani itapotea kweli?
Nakwambia kwani kwa Mfungale pale ilivyokuwa na sasa,ila tumepiga hatua
Nasikia kuna phase 6 za BRT, hii ya mbagala ni phase ya 2 na iko mbioni kuanza full blown implementation, sina hakika liniExcellent, inaisha lini?
Nakwambia kwani kwa Mfungale pale ilivyokuwa na sasa,ila tumepiga hatua
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia kuna phase 6 za BRT, hii ya mbagala ni phase ya 2 na iko mbioni kuanza full blown implementation, sina hakika lini
Hahaaaaaaaaa mimi mwanzoni nilivyokuwa naonaga nikawa najisema moyoni loool eneo ili litakuwa kama metro station hivi za ulaya kuja kuaingia nikasema ni hatari
ka mimi tu walivomaliza nikawa nadhani labda ujenzi bado... nlifikiria sana kwa nini iwe ivi mpaka nikaanza kuingiwa na wasi wasi kwamba labda yale maneno ya bara letu lina laana ni ya kweli that is why hata tukitengeneza vitu vizuri vinagoma kuonekana vizuriHahaaaaaaaaa mimi mwanzoni nilivyokuwa naonaga nikawa najisema moyoni loool eneo ili litakuwa kama metro station hivi za ulaya kuja kuaingia nikasema ni hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahhaaaaaaaaaaaaa yaani mkuu ili jambo limekuwa linanisumbuaga sana anywayka mimi tu walivomaliza nikawa nadhani labda ujenzi bado... nlifikiria sana kwa nini iwe ivi mpaka nikaanza kuingiwa na wasi wasi kwamba labda yale maneno ya bara letu lina laana ni ya kweli that is why hata tukitengeneza vitu vizuri vinagoma kuonekana vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Terminal ya BRT (mwendokasi) huko Mbagala inatarajiwa kuwa na muonekano huu. Na ile tabia ya kupitia dirishani itapotea kweli?
ndo mana conclusion yako imenipunguzia dilema nliyokuwa nayo, kwamba aya mambo yanawezekana japani tuAhhaaaaaaaaaaaaa yaani mkuu ili jambo limekuwa linanisumbuaga sana anyway
Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh! vituko haviishagi tanzania yetu hii, na wewe umeona hiloMbona naona waarabu, siyo mnatuingiza chaka!
Hawachelewi kurukia madirishani, ila watazoea tu
Siku ya kwanza huko watu watapigana sana vipepsi watatoana ngeuu sana hukoHawachelewi kurukia madirishani, ila watazoea tu
Hahaha mkuu umenichekesha sana ... Vinagoma kuonekana vzurka mimi tu walivomaliza nikawa nadhani labda ujenzi bado... nlifikiria sana kwa nini iwe ivi mpaka nikaanza kuingiwa na wasi wasi kwamba labda yale maneno ya bara letu lina laana ni ya kweli that is why hata tukitengeneza vitu vizuri vinagoma kuonekana vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaka mimi tu walivomaliza nikawa nadhani labda ujenzi bado... nlifikiria sana kwa nini iwe ivi mpaka nikaanza kuingiwa na wasi wasi kwamba labda yale maneno ya bara letu lina laana ni ya kweli that is why hata tukitengeneza vitu vizuri vinagoma kuonekana vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app