Je, mpira wetu upo salama? Mwenye CV ya Almasi Kasongo

Umeongea vizur ila kikawaida taasisi au kitengo fulan ata nchi na sehem nyingine ambazo zinakua kiongoz wa juu kama kutatokea tatzo au kasoro wa kwanza kubeba lawama ni kiongoz mkubwa kwa maana yeye ndio kioo cha wa chin yake kufanya vzur mawazo yake maona yake na mipango yake ndio ubora wa anachokiongoza sasa kama kuna tatzo au hakuna maendeleo maana yake yeye ameshindwa kuongoza au anaongoza kitu ambacho hana uwezo nacho kama unakata ceo wa bodi asilaumiwe kwa tatzo fulan alaumiwe nan wakat yeye ndio kiongoz
 
Ukiona makolo fc wanaparauna umu kumtetea mkuu wa kitengo chochote kwenye ligi yetu, ujue huyo mtu wana maslahi naye....Kasongo ni Kolo fc lialia yan.
 
Mkuu kuhusu yule mzee wambura naweza kukubali mkuu ana kazi nyingne pale..😁😁,
Jamaa aingie nan pale tff yupo t na kwenye mpira kuna fitna kali sana na majungu,
Akiingia mtu wa kambi nyngne anasafisha wote anakuja na wake but jamaa kasurvive tawala zote kuanzia kwa mzee ndolanga,kaja tenga,malinzi na karia sasaiv,
Anabadilishiwa vitengo tu ..
Sjui siri iliyopo nyuma ya huyu jamaa ni nini,
Cauz hizo tawala zote zilivoingia kila mtu alikuja na safu yake mpya kabsa tena wanaingia kwa vita kali na kufungiana but mzee wambura always ana survive..
 
sijakukatalia kuwa ktk uwajibikaji wa jumla kidole kitaenda kwa mtendaji mkuu wa taasisi lakini tuanzie hapo je bodi ya ligi ni independent? Je waweza kumlaumu moja kwa moja almar wakati uwajibikaji wao uko under tff? Wapewe total responsibility then ndio walaumiwe kwanini asitajwe Karia ambaye ndio baba na anatajwa almas? Leo watu wanawapongeza tff kwa kupata wadhamini wengi lakini kwanini pongezi hzo hawampi direct almas? Kwakuwa jibu ni yeye kwa wakati huu ni mtoto tu hajapewa full authority yakufanya mambo yake yenyewe,alafu tunaposema hakuna maendeleo je unapima ktk angle gani? Unajua hata utajiri kila jamii ina definition yake mfano jamii ya wafugaji wao utajiri wao ni kuona mifugo imetapakaa zizini na jamii ya wakulima kupata mazao mengi bila kujali watauza au wataloweka tembo wafanye masherehe tu na baadhi ya maeneo wao kushika cash mkononi so definition ya maendeleo ya taasisi kila mtu ana kipimo chake na Almas ni sehemu tu ya wajenzi tena ni kama saidia fundi
 
masikitiko sana jamaa anadhani Azam anafanya hisani au anasaidia tu kumbe nae yupo ktk kutengeneza pesa
 
sitaki kujikita ktk jambo nisilo na uhakika au ushuhuda nalo ila km ameekwa kimkakati na wenye mamlaka hyo ni juu yao na km amekaa kupika majungu itakuwa si vyema na Wambura amekuja pale mwaka 2011 na Angetile wala hakuwepo kipindi cha Ndolanga,walikuja utawala wa Tenga wale

 
jibu lako umelipata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…