Je,msemo huu unakufundisha nini?

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Akisafiri mzaramo kaenda ngomani ila akisafiri mchaga kaenda kusalimia wazee.NOTED. Picha haihusiani na msemo huo
 
wakibomolewa kimara FRESH,mwanza hata kama wamevurunda HAPANA KUBOMOA,naishi mwanza ila hili limeniumiza sana!yale yale ya watumishi hewa then MAKONDA simgusi!
 
Reactions: Auz
wakibomolewa kimara FRESH,mwanza hata kama wamevurunda HAPANA KUBOMOA,naishi mwanza ila hili limeniumiza sana!yale yale ya watumishi hewa then MAKONDA simgusi!
Pole sna mkuuu,mm nalilia moyon maana ata machoz yakinitoka stopata faida yoyote
 
Kila msafiri anamalengo binafsi
 
Mfuasi wa chadema akihamia CCM kahongwa, mfuasi wa CCM akihamia Chadema kakimbia maovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…