Habari za muda huu wana jf
Naomba kuelekezwa jinsi mshindi anapatikana katika kombe la dunia kuanzia hatua ya makundi, 16 bora, robo fainali, nusu fainali hadi fainali
Jibu lako litanielimisha mimi na wengine wasio na ufahamu juu ya hili, karibu
View attachment 2430398