Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani haikuwa na AsaadHTS wametwaa madaraka kwa mtutu wa bunduki.
Huu ndio uliokuwa msimamo wa marekaniView attachment 3172063View attachment 3172065View attachment 3172064
Je, utaendelea kuwa ule ule au utabadilika ?
Huo msimamo haupo,hao hts na hii shughuli ni mkono wa marekaniMsimamo utabaki ule ule labda magaidi wabadilike tu na kuwa raia wema.
Wakati wao ndiyo wamemsaidia na kumfadhiliHuu ni wakati sahihi marekani kutumia kambi yake Syria kumnyaka huyu gaidi na kundi lake kama Osama maana kajileta mwenyewe mdomoni mwa mamba.
Umenena vema mkuu.Huo msimamo haupo,hao hts na hii shughuli ni mkono wa marekani
Umenena vema mkuu.Wakati wao ndiyo wamemsaidia na kumfadhili
Muda utatupa jibu sahihi lisilo na shaka, lakini siku zote Marekani na washirika wake wa Magharibi huipigania leo na kuipuuza kesho.huanza kwa kuwawezesha wawezesha Waasi,kuwasaidia na kufanikisha mapinduzi ila baadae. utawala unaofuata huwa dhidi yao.HTS wametwaa madaraka kwa mtutu wa bunduki.
Huu ndio uliokuwa msimamo wa marekaniView attachment 3172063View attachment 3172065View attachment 3172064
Je, utaendelea kuwa ule ule au utabadilika ?
Usa hana shida na mtu kikubwa alinde maslah ya usa.