DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 318
- 1,597
Habari zenu bhana
Naomba niende moja kwa moja najua ntapata wajuzi wa kunishauri.
Baba yangu alikua mwalimu kabla hajastaafu. So alikua anapokea penshen ile ya kila mwezi mpaka alipofariki mwaka juzi 2021. Alifariki akiwa na miaka 74.
Ile penshen iliingia kwa miezi mitatu tuu then ikakoma. Na ndo ilikua inamsaidia mama yetu pale nyumban. Ilivokoma tukajua labda mstaafu akifariki na penshen inakoma.
Mama yetu ni mjane na ana miaka 71 sasa. Sasa kuna kila dalili kuwa zile pesa bado zinalipwa ila zinaenda kwenye mifuko ya watu wengine. Nimehisi hivo maana bima ya mama bado inafanya kazi. Na kuna connection kati ya bima na ile pension. Kama pension isingekua inaingia bima pia ingefika ukomo wake. Mama yeye ni mkulima tuu hajawahi ajiriwa popote. Yuko njombe vijijini na mimi niko Dar.
Nikafatilia nyuzi za humu JF nkaona kumbe mstaafu akifariki basi mjane anaendelea kupokea ile pension ya kila mwezi mpaka nae akifariki au kuolewa.
So naomben mnisaidie ktk hili. Jee ni kweli mama anastahili kupokea pension kila mwezi? Kama ni kweli basi nitumie njia gani kurudisha haki hii.
Natanguliza shukran.
Naomba niende moja kwa moja najua ntapata wajuzi wa kunishauri.
Baba yangu alikua mwalimu kabla hajastaafu. So alikua anapokea penshen ile ya kila mwezi mpaka alipofariki mwaka juzi 2021. Alifariki akiwa na miaka 74.
Ile penshen iliingia kwa miezi mitatu tuu then ikakoma. Na ndo ilikua inamsaidia mama yetu pale nyumban. Ilivokoma tukajua labda mstaafu akifariki na penshen inakoma.
Mama yetu ni mjane na ana miaka 71 sasa. Sasa kuna kila dalili kuwa zile pesa bado zinalipwa ila zinaenda kwenye mifuko ya watu wengine. Nimehisi hivo maana bima ya mama bado inafanya kazi. Na kuna connection kati ya bima na ile pension. Kama pension isingekua inaingia bima pia ingefika ukomo wake. Mama yeye ni mkulima tuu hajawahi ajiriwa popote. Yuko njombe vijijini na mimi niko Dar.
Nikafatilia nyuzi za humu JF nkaona kumbe mstaafu akifariki basi mjane anaendelea kupokea ile pension ya kila mwezi mpaka nae akifariki au kuolewa.
So naomben mnisaidie ktk hili. Jee ni kweli mama anastahili kupokea pension kila mwezi? Kama ni kweli basi nitumie njia gani kurudisha haki hii.
Natanguliza shukran.