Kuna habari (nisizoziamini) nimepata kutoka kwa jamaa yangu ya kwamba, Waaziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Shukuru Kawambwa, amepeleka mtaala Bungeni leo, kama ilivyoshinikizwa na Mh. Mbatia (na Wabunge wa upinzani).
Pia, ili kutibitisha ya kwamba mtaala uliowasilishwa ni sahihi (si wa kupikwa fasta fasta ili mwanaharamu apite) imeundwa tume ya Wabunge kadhaa, akiwamo Mh. Mbatia kuuchunguza.
Je habari hizo ni za kweli?