Je mtaani kwenu kuna dampo? Kama hamna mnafanyaje kudumisha usafi wa mazingira?

Je mtaani kwenu kuna dampo? Kama hamna mnafanyaje kudumisha usafi wa mazingira?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Hebu tuelezane ukweli ili tuweze kuyafanya mazingira yetu safi na salama.
 
Halipo dampo ila tunakusanya kwenye mifuko huwa wanapita wazoa taka mara tatu kwa wiki wanazoa kuanzia jero hadi 3000 kulingana na wingi wa taka za nyumba husika
 
Back
Top Bottom