Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mtandao namba 1 kwa kuibua mijadala mbalimbali ulimwenguni maarufu kama X zamani ukijulikana kama Twitter ni kama umezimwa nchini Tanzania. Ukijaribu kuingia kwa njia ya kawaida unagoma mpaka utafute VPN.
Je ni tatizo la kimtandao au ndio umezimwa kimyakimya?
Je ni tatizo la kimtandao au ndio umezimwa kimyakimya?