Sakata la majizi ya CCM kufanya ubadhilifu wa fedha za umma kwa kupitisha ile kauli ya mama yao kuwa wataanza kununua umeme nnje, wakati huo hapa nchini mabilioni ya pesa yameshatumika kujenga bwawa ambalo walisema wenyewe litaweza kuzalisha umeme mwingi na bei za umeme zitashuka, huku changamoto ya mgao ikiisha, maajabu ni kwamba wameshasahau kauli zao wanakwenda kupoteza mabilioni mengine kufuja katika manunuzi yasiyoeleweka.
Kwa ushenzi huu ili kuwapoteza raia wasihoji wala kufanya mijadala hawa majizi naona wakalegeza eneo(X) ambalo ndiko kuna mlipuko wa hoja nyingi za kisiasa dhidi yao