Anayefaa kwa huu ni Dr. aliyesomea, siyo Dr. wa kubandikwa kofia??? Watanzania tuamke, tubadilike maana dunia nzima imeshabadilka sasa. Hata hao wahisani wameshaona kama ni ujinga basi Mjomba amefanya ujinga wa ziada, kama wamefikia mahala pa kusema hatutoi hela maana mnachezea hamuoni wathungu wametuona sisi ni mapambaf wa kutupa? hiyo ni kazi ya mjomba JK, hana maana kabisa...kuliko mumpe JK tena leadership bora mumupe huyu jamaa aliyelala kitandani ambaye hajafanya kampeni, mtakuwa mmefanya bora kuliko kumpa tena JK. Msinielewe vibaya, simpigii kampeni mgonjwa ila ninachojaribu kusema ni kwamba JK ni useless kuliko huyo jamaa aliyelaa kitandani sasa hivi, na hata hivyo tunamjua ni mgonjwa maana ameshaanguka sio mara moja watu wakafanya juju zao hapo akaendelea, usimwone anatembea hakuna mtu hapo ni hewa inatembea. Bora huyu jamaa mgonjwa ni mtu ila ana tatizo na linajulikana na madaktari, sasa kinachomwangusha JK mnakijua??? Usitake kujua... Sala ~ "EE BABA TUNAKUOMBA USHUKE BONGO KESHOKUTWA TAREHE 31 OCT 2010 USHIKE MASANDUKU YA KURA MWENYE, YEYOTE ATAYEJARIBU KUFANYA LOLOTE KINYUME NA UTARATIBU NA APOOZE MKONO HADI KUFA KWAKE :amen:"