Je, mtu anaweza kufungua kesi kwa kusingiziwa mtoto?

Je, mtu anaweza kufungua kesi kwa kusingiziwa mtoto?

sunv

Member
Joined
May 19, 2020
Posts
44
Reaction score
32
Kuna msala aliwahi kupata mtu wangu wa karibu alibainika kuwa amembebesha mimba mwanafunzi.

Baada ya kutajwa alitimka na familia yake iliwajibishwa kulipa kiasi Cha TZS 7,400,000/= kama fidia.

Mtoto alipozaliwa kijana aliamua kurejea na kuanza process za kupima DNA kwa sababu aliamini fika kuwa mimba ile haikua yake kwani msichana huyo alikua akigawa mbususu kwa kila mtu[emoji3].

Majibu yametoka ni kweli mtoto huyo si wa kwake.

Je, ana uwezo wa kufungua kesi ili naye alipwe fidia kama ilivyofanyiwa familia yake?
 
Mtihani sana, jana tu kuna rafiki yangu nilikua naongea nae kwa simu ila kukawa na zogo alipo boda kampa mimba binti wa miaka 16, kazi sana
 
Kuna msala aliwahi kupata mtu wangu wa karibu alibainika kuwa amembebesha mimba mwanafunzi.

Baada ya kutajwa alitimka na familia yake iliwajibishwa kulipa kiasi Cha TZS 7,400,000/= kama fidia.

Mtoto alipozaliwa kijana aliamua kurejea na kuanza process za kupima DNA kwa sababu aliamini fika kuwa mimba ile haikua yake kwani msichana huyo alikua akigawa mbususu kwa kila mtu[emoji3].

Majibu yametoka ni kweli mtoto huyo si wa kwake.

Je, ana uwezo wa kufungua kesi ili naye alipwe fidia kama ilivyofanyiwa familia yake?
Usiogope kama una uhakika familia yako ililipishwa hizo hela basi we fungua kesi urudishiwe hela zenu. Usimsingizie rafiki yako, huu msala ni wewe ndiye uliyefanya, nakujuwa wewe👉
 
Usiogope kama una uhakika familia yako ililipishwa hizo hela basi we fungua kesi urudishiwe hela zenu. Usimsingizie rafiki yako, huu msala ni wewe ndiye uliyefanya, nakujuwa wewe[emoji117]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna msala aliwahi kupata mtu wangu wa karibu alibainika kuwa amembebesha mimba mwanafunzi.

Baada ya kutajwa alitimka na familia yake iliwajibishwa kulipa kiasi Cha TZS 7,400,000/= kama fidia.

Mtoto alipozaliwa kijana aliamua kurejea na kuanza process za kupima DNA kwa sababu aliamini fika kuwa mimba ile haikua yake kwani msichana huyo alikua akigawa mbususu kwa kila mtu[emoji3].

Majibu yametoka ni kweli mtoto huyo si wa kwake.

Je, ana uwezo wa kufungua kesi ili naye alipwe fidia kama ilivyofanyiwa familia yake?
Familia walimlipiaje hela yote mtu ambaye hayupo?
Lakini kwa nini utembee na mwanafunzi hata kama mimba siyo yako?
 
Vijana wa siku hizi hawataki huu msemo wa "kitanda hakizai haramu.........".

Ila dada zangu siku hizi mpo vizuri mnatupanga,kuna anayetoa hela ya vicoba,kuna anayegoa hela ya mchezo, kuna anaye gharamiki nguo,simu na mitoko na kuna yule anayempenda yy na wote wanapewa papuchi.

Akapata mimba hata yy mwenyewe anapagawa alipewa na nani maana kila siku anatoa.
 
Familia walimlipiaje hela yote mtu ambaye hayupo?
Walikuwa wakitishishiwa kuuziwa hata nyumba wanayoishi kwani Baba wa binti alikua na ndg yake afisa usalama ambaye alikua akimjulisha kila kitu. Kutokana na hali iyo kuwepo familia ikawa na uoga thus why walilipa
 
Hio milion 7.4 alilipishwa kama faini ya kutembea na mwanafunzi

Yaani hapo akitaka kuenda mahakamani mmsaidie kabisa kushona 'jezi' ya jela na ajiandae kabisa kupigwa mvua ya miaka 30 maana ushahidi upo wazi, kulipa faini ni sawa na kukiri kutembea na mwanafunzi ambayo ni kinyume na sheria na ikibainika unafungwa miaka 30, sasa hapo ushahidi uko wazi kabisa

Wazazi pia wa huyo mwanafunzi Wana makosa maana walitakiwa kuripoti kwenye mamlaka sema inaonekana wakaweka tamaa ya pesa mbele

Nyie mkipata mwanasheria mzuri mkienda mahakamani anawafunga wote mlalamikaji na mlalamikiwa!
 
Kuna msala aliwahi kupata mtu wangu wa karibu alibainika kuwa amembebesha mimba mwanafunzi.

Baada ya kutajwa alitimka na familia yake iliwajibishwa kulipa kiasi Cha TZS 7,400,000/= kama fidia.

Mtoto alipozaliwa kijana aliamua kurejea na kuanza process za kupima DNA kwa sababu aliamini fika kuwa mimba ile haikua yake kwani msichana huyo alikua akigawa mbususu kwa kila mtu[emoji3].

Majibu yametoka ni kweli mtoto huyo si wa kwake.

Je, ana uwezo wa kufungua kesi ili naye alipwe fidia kama ilivyofanyiwa familia yake?
Hii habari haina uhalisia kwanza Mtu anafahamu kuwa sio mtoto wako anakubalije kirahisi kupima DNA na pili kupima hiyo kitu kwa hapa TZ sio rahisi kihivyo kuna process hadi mkuu wa wilaya aidhinishe na pia hata majibu mara nyingi yanamfeva mwanaume i.e mtoto ni wako nani mwingine atamlea? akili kumkichwa
 
Ndiyo. Lakini awe tayari kugeuziwa kibao cha kumbaka (kutembea ) mwanafunzi. Miaka 30 itakuwa palepale

😂😂😂
Hapo anasimamia msimamo kuwa hakumbaka, na aliyembaka ni huyo mwenye mtoto.
Ni kesi rahisi Mno.

Atasema hajawahi kulala naye kabisa na Kwa vile hakuna ushahidi wowote atakaotoa Mahakamani.
Ushahidi WA kubakwa tayari mbebaji tayari yupo.

Kesi za namna Hii Kwa Sisi Wapare tunazifurahi Mno naan ni hela ya nje Kabisa 😂😂
 
Usiogope kama una uhakika familia yako ililipishwa hizo hela basi we fungua kesi urudishiwe hela zenu. Usimsingizie rafiki yako, huu msala ni wewe ndiye uliyefanya, nakujuwa wewe👉
Ushauri wa kijinga, maana kukubali apime DNA unathibitisha kuwa ulitembea naye! Je, kipi ghali kati ya Fedha na miaka 30 Jela
 
Back
Top Bottom