E E52 Member Joined Oct 31, 2010 Posts 81 Reaction score 14 Dec 6, 2012 #1 Wakuu naomba kujua mtu mnene atajauaje kama ana hernia kwa vile uvimbe hauonekani kutokana na belly fat.....je ni kipimo gani mtu anaweza kupima akajua kuwa ana hernia.....
Wakuu naomba kujua mtu mnene atajauaje kama ana hernia kwa vile uvimbe hauonekani kutokana na belly fat.....je ni kipimo gani mtu anaweza kupima akajua kuwa ana hernia.....
U usungilo JF-Expert Member Joined Aug 9, 2012 Posts 522 Reaction score 332 Dec 6, 2012 #2 Doctors know where to look. Ndo maana wakapelekwa shule. Kuna vitu unaweza kuelekezwa ukavifanya lakini vingine duh!
Doctors know where to look. Ndo maana wakapelekwa shule. Kuna vitu unaweza kuelekezwa ukavifanya lakini vingine duh!