Richard R Monyo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 242
- 265
Je, makundi ya damu kati ya mtu mweusi(mwenye asili ya Africa) na mzungu au mtu wa race nyingine yataendana tunaweza kuongezeana damu?
Na kama jibu ni NDIO kwanini bado kuna ubaguzi kwa watu weusi?
Na kama jibu ni NDIO kwanini bado kuna ubaguzi kwa watu weusi?