Mtoa uzi ngoja tuelimishane kitu
1.Hakuna mtu mweusi duniani wala mweupe,najua utabisha ila fahamu kwamba ukijikubali wewe ni mweusi halafu mzungu mweupe ujue bado unaukubali utumwa,hayo ni maneno ya kitumwa.
2.Suala la damu kutoa hilo linafanyika isipokuwa mtoaji na mtolewaji wote wanatakiwa blood group ziendane na vigezo vingine vya kitabibu vizingatiwe.
3.Binadamu wote ni sawa,isipokuwa tunatofautiana uelewa katika mambo ya kimsingi
Japo inawezekana.
Sijui kuna ugumu gani kupata damu ya mzungu..
Maana nimeskia nchi ikipokea misaada ya vifaa tiba,madawa chanjo kinga n.k na fedha kwaajili ya ku support wizara ya Afya.
Ila kupokea msaada wa damu ...hiyo tangu sijaota ndevu mpaka nimeota sijaskiaga msaada wa Damu.
Kwa hisani ya watu wa Ng'ambo.