GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haya haya Waokoaji wa Ajali za baadae hakikisheni nanyi Majina yenu yawe yanafanana na ya Viongozi Wakuu na Waandamizi wa Serikali hii ya Awamu ya sasa ili yakitajwa tu basi wenye hayo Majina ( Wajina zenu ) waweze Kufurahi na kupata hata Ushawishi wa Kuwalazimisha Wakuu wa Mikoa mpewe Zawadi na muimbwe sana katika Media na Social Media mbalimbali sawa?
Na usitegemee kusikia Ajali ya Meli imetokea halafu Shujaa wa Kuokoa Watu akawa ni GENTAMYCINE Mwenye majina halisi ya NIDA na RITA hadi Pasipoti ya UHAMIAJI ya Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura kisha ukasikia Nasifiwa na kutakiwa kupewa Zawadi kwani Majina yangu yote haya tajwa hapa hayafanani na Kiongozi yoyote wa Serikalini hivyo nitaishia tu Kupongezwa ( Kukongolewa ) kwa maneno matupu na kuendelea kuyaishi haya haya Maisha yangu ya Umasikini ulionitukuka hadi katika Kope zangu za Macho.
Cc: adriz, Glenn, Daudi Mchambuzi, Bila bila, Sky Eclat, Bujibuji Simba Nyamaume, Slim5 etc.
Na usitegemee kusikia Ajali ya Meli imetokea halafu Shujaa wa Kuokoa Watu akawa ni GENTAMYCINE Mwenye majina halisi ya NIDA na RITA hadi Pasipoti ya UHAMIAJI ya Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura kisha ukasikia Nasifiwa na kutakiwa kupewa Zawadi kwani Majina yangu yote haya tajwa hapa hayafanani na Kiongozi yoyote wa Serikalini hivyo nitaishia tu Kupongezwa ( Kukongolewa ) kwa maneno matupu na kuendelea kuyaishi haya haya Maisha yangu ya Umasikini ulionitukuka hadi katika Kope zangu za Macho.
Cc: adriz, Glenn, Daudi Mchambuzi, Bila bila, Sky Eclat, Bujibuji Simba Nyamaume, Slim5 etc.