Je, Muumgano ukifa Mkataba wa DP World nao unakufa?

Je, Muumgano ukifa Mkataba wa DP World nao unakufa?

Justine Marack

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
612
Reaction score
1,698
Twende straight to the point, bila kuzingatia waliyosaini huko Mkataba.

Swali nataka kujua, ikiwa leo DP World wamesaini Mkataba na Mbarawa kama Waziri wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Sasa ikitokea Muungano ukavunjika na Mbarawa kurudi zake kwao Zanzibar. je, Makataba wa DP world utabaki Tanganyika au utamfuata Mabarawa huko Zanzibar au Mkataba nao utakuwa umekufa?

Tafadhali wajuvi tupatieni elimu hapa.
 
Ni kwamba alisain kam Nani na mkataba unatak nn hvyo
 
Huo mkataba ni wa kishetani zaidi. Hauzingatii hali za wananchi bali mafisadi waliopo uongozini
 
Ni mjinga tu ndo angeweza kusaini Mkataba huo


Yaan sahizi Kila kitu ni kuwatuliza DP world tu, ndio Kauli ya mwisho .
 
Twende straight to the point, bila kuzingatia waliyosaini huko Mkataba.

Swali nataka kujua, ikiwa leo DP World wamesaini Mkataba na Mbarawa kama Waziri wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Sasa ikitokea Muungano ukavunjika na Mbarawa kurudi zake kwao Zanzibar. je, Makataba wa DP world utabaki Tanganyika au utamfuata Mabarawa huko Zanzibar au Mkataba nao utakuwa umekufa?

Tafadhali wajuvi tupatieni elimu hapa.
Muungano wa kitapeli uvunjwe
 
Twende straight to the point, bila kuzingatia waliyosaini huko Mkataba.

Swali nataka kujua, ikiwa leo DP World wamesaini Mkataba na Mbarawa kama Waziri wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Sasa ikitokea Muungano ukavunjika na Mbarawa kurudi zake kwao Zanzibar. je, Makataba wa DP world utabaki Tanganyika au utamfuata Mabarawa huko Zanzibar au Mkataba nao utakuwa umekufa?

Tafadhali wajuvi tupatieni elimu hapa.
muungano ukifa mwarabu anatakiwa kutembea kwa mguu toka bongolala hadi dubai, atalandalanda juu ya maji. kwasababu Tanzania aliyoingia nayo makubaliano itakuwa imededi, na Tanganyika imezaliwa ambayo hakuingia nayo makubaliano. wengine wanasema pengine huu ni mpango wa Mungu Tanganyika iibuke kwa kupitia DP WORLD.
 
Muungano hauwezi vunjika, tusisahau waliofanya mapinduzi Zbar mwaka 1964 ni wamakonde, wanyamwezi na waafrika wengine, hatuwezi acha ndugu zetu. Mwarabu hawezi mpindua mwarabu.

Somewhere down the line tutabadilisha kuwa nchi mbili, Republic of Tanganyika na Republic of Zanzibar. Halafu kutakuwa na Federation of Tanzania and Zanzibar. Watakaoingia mkataba na URT itakuwa imekula kwao.
 
Twende straight to the point, bila kuzingatia waliyosaini huko Mkataba.

Swali nataka kujua, ikiwa leo DP World wamesaini Mkataba na Mbarawa kama Waziri wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Sasa ikitokea Muungano ukavunjika na Mbarawa kurudi zake kwao Zanzibar. je, Makataba wa DP world utabaki Tanganyika au utamfuata Mabarawa huko Zanzibar au Mkataba nao utakuwa umekufa?

Tafadhali wajuvi tupatieni elimu hapa.
Mkataba utaishi
 
Back
Top Bottom