Binafsi,hali haikua nzuri hata kidogo zaid i miez ya Feb na June.
Msichana ambaye tulikubaliana alipoamua kunisaliti na kuolewa na mwanaume mwingine kipindi cha mwezi wa kumi na moja ndipo alipofungua ndoa.
Kilikua ni kipindi na mwaka mgumu sana kwangu kwani nilifedheheshwa sana na hata baadhi ya mambo hayakwenda vizuri.
Kuhusu uzuri wa mwaka huohuo,ilipofika July nikampata msichana ambaye hadi hivi sasa ameonekana kua mwaminifu kwangu na kuniondolea wakati mgumu ambao nilikumbwa nao.Tukimaliza masomo tutapanga utambulisho rasmi kwa wazazi.
Je mwenzangu kwako ulikuaje?
Msichana ambaye tulikubaliana alipoamua kunisaliti na kuolewa na mwanaume mwingine kipindi cha mwezi wa kumi na moja ndipo alipofungua ndoa.
Kilikua ni kipindi na mwaka mgumu sana kwangu kwani nilifedheheshwa sana na hata baadhi ya mambo hayakwenda vizuri.
Kuhusu uzuri wa mwaka huohuo,ilipofika July nikampata msichana ambaye hadi hivi sasa ameonekana kua mwaminifu kwangu na kuniondolea wakati mgumu ambao nilikumbwa nao.Tukimaliza masomo tutapanga utambulisho rasmi kwa wazazi.
Je mwenzangu kwako ulikuaje?