Kila kitu kinatokea kwa sababu Mkuu....
Ukilijua hilo kila nyakati kwako utazitafsiri kwa furaha tu!
Chukua jukumu lako vilivyo kwa hicho kifaa chetu kipya kisikuponyoke....
Ah nimesahau kuhusu mimi na mapenzi yangu lol yalikuwa matamu sana....
Hebu cheki stori hii ya MALAIKA WANGU
hahahah...... Happy New Year to You & ur Angel!!! Usiwe unapotea sana basi mkuu.....
Mkuu unajuaje kuwa huyo uliyempata ni mwaminifu? Miezi mitano ni muda mfupi sana kuingia ktk mahusiano na kujipa matumaini kuwa umepata mke mwema! Ikumbukwe kuwa wewe ni kama nyati aliyejeruhiwa, ukimpata demu ambaye hajatulia na ikawa amepata story yako ya kupigwa chini, hapo ndipo utaona sarakasi za ajabu. Motive ya kuleta thread hii hapa, I guess ni huyo demu uliyempata, so think twice before you jump!
Poa sipotei tena Mkuu wangu...
Heri ya niuu iya kwako pia..
Malaika yupo poa sana alitaka kukesha na mimi hapa jamvini ila kachemka, nishamlaza!
So sweeet.Poa sipotei tena Mkuu wangu...
Heri ya niuu iya kwako pia..
Malaika yupo poa sana alitaka kukesha na mimi hapa jamvini ila kachemka, nishamlaza!
So sweeet.
Happy new year jG!!
Naomba 2012 ukuwie mwaka mzuri wewe na Malaika. . . muwe na furaha pia amani tele.Mafanikio ndio kabisaaa mpaka mchoke wenyewe.Mbarikiwe sana!!
mmmhhhh... kweli mwaka mpya
ebwana mi nilimpata msichana niliyekuwa kwenye mchakato naye kwa miaka miwili nikiendelea kumfukuzia. Hatimaye akanielewa na ameshafahamika kwa dada zangu coz ndiye mpango mzima.
"Mpaka sasa ameonekana ni mwaminifu" hayo ndio maneno ya mtoa mada. Acha kumwekea vikwazo kwa lazima!!
@Mtoa mada. . . Pole na hongera.Usitishwe na mtu, kama mwenzio anaonekana ametulia endelea nae taratibu huku ukiomba awe ametulia kweli. Hauna haja ya kuanza kuwa na wasiwasi wakati mhusika hajakupa sababu.
Huo mwaka na uende zake. Niliona unachelewa sana. Ni mwaka uliokuwa mgumu sana toka tarehe moja, nilikuwa pembeni mwa kitanda alicholazwa mpenzi wangu pale Burhani hosptal. Siku kumi na nane baadaye alifariki pale muhimbili, sewahaji namba kumi.
Siutaki ule mwaka, heri umeenda.