Je mwanamke akiwa na mimba bleed yake inakuwaje?

Je mwanamke akiwa na mimba bleed yake inakuwaje?

NNC

Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
24
Reaction score
3
Dr naomba niulize, mi nina mke wangu alafu nimepiga game siku zote za hatari lakini naona damu inamtoka alafu sio nyingi na wakati bado ajamaliza circle yake? Hila bado sijampima mimba.
 
Wewe kweli mgeni, humu sio kwa madokta humu ni malalamiko na pongezi tu. Ngoja mods wakusaidie kuipeleka kule kwa madokta
 
Damu hutoka nyepesi sana halafu huwa inatoka kidogo.
Ila kama mmefanya hivi karibuni hilo tendo la ndoa, jaribu kusubiri kama wiki tatu halafu apime mkojo kwa kutumia UPT. Mtajua kama amepata mimba au lah!
 
Back
Top Bottom