Je mwanamke aliye fanyiwa upasaji na kukatwa milija yake yakupevusha mayai anaweza kupata hedhi

Je mwanamke aliye fanyiwa upasaji na kukatwa milija yake yakupevusha mayai anaweza kupata hedhi

peoples power

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
475
Reaction score
100
Hodi hapa ndani kwenu madakitali napenda nieleweshye kama mwanamke aliye wahi kufanyiwa upasuaji na kuondolewa milja yake yote miwili anaweza akapata siku zake kama kwaida.Naomba mnijuze tafadhali.
 
Back
Top Bottom