Je mwanamke anahusika vipi kuwa chanzo cha mali za mwanaume

Je mwanamke anahusika vipi kuwa chanzo cha mali za mwanaume

switch Off

Member
Joined
Oct 30, 2019
Posts
48
Reaction score
186
Habari wakuu..kuna sehem nimepita nimekuta mwanamke ana lalamika kuwa ameachana na mume wake mwaka 2016. Anadai hakudai Mali kabisa ila kwasasa anataka aanze mchakato wa kudai Mali ili apate mgawanyo wake..anadai yeye ndie alie kuwa chanzo cha mume wake huyo kufanikiwa kimaisha na kuwa na mali nyingi....

Wakuu hii Mimi imenichanganya sana nashindwa kuelewa amefanikisha vipi maendeleo ya mumewe ? Au ndio kauli za kishujaa za wanawake wote ?

Mimi kwa upande wangu nimeoa Nikiwa na hela za kutosha bank ,nimeoa nikiwa na kazi ya uhakika ....baada ya kuoa nikaamua nijenge nyumba kwa hela ambazo zilikuwa kwenye account yangu ya bank..pia nimefanya mambo mengi makubwa kupitia pesa ambayo ilikuwepo banki kabla ya Mimi kuoa .....je kwa baadae mke wangu atasema yeye ni chanzo cha mali zangu ? au amechangia kupatikana kwa mali zangu ?

NB Mimi sio mbinafsi ila nataka kujua mitazamo yenu
 
Habari wakuu..kuna sehem nimepita nimekuta mwanamke ana lalamika kuwa ameachana na mume wake mwaka 2016. Anadai hakudai Mali kabisa ila kwasasa anataka aanze mchakato wa kudai Mali ili apate mgawanyo wake..anadai yeye ndie alie kuwa chanzo cha mume wake huyo kufanikiwa kimaisha na kuwa na mali nyingi....

Wakuu hii Mimi imenichanganya sana nashindwa kuelewa amefanikisha vipi maendeleo ya mumewe ? Au ndio kauli za kishujaa za wanawake wote ?

Mimi kwa upande wangu nimeoa Nikiwa na hela za kutosha bank ,nimeoa nikiwa na kazi ya uhakika ....baada ya kuoa nikaamua nijenge nyumba kwa hela ambazo zilikuwa kwenye account yangu ya bank..pia nimefanya mambo mengi makubwa kupitia pesa ambayo ilikuwepo banki kabla ya Mimi kuoa .....je kwa baadae mke wangu atasema yeye ni chanzo cha mali zangu ? au amechangia kupatikana kwa mali zangu ?

NB Mimi sio mbinafsi ila nataka kujua mitazamo yenu

Kama ni mkeo kisheria ni mali zenu wote aijalishi ulianza kupata kabla ya kumuoa, Lakini kama kimada tuu wa kujifurahisha nae nafikiri hapo haki itakuwa imempitia mbali, Nendeni mkaoane na kuonganika kitu kimoja, zingatia sana huo usemi...
 
Ukipata mali kabla ya kuoa na akazikuta demu hana chake ila ataambulia kifuta jasho tudogo.
Kama ni mkeo kisheria ni mali zenu wote aijalishi ulianza kupata kabla ya kumuoa, Lakini kama kimada tuu wa kujifurahisha nae nafikiri hapo haki itakuwa imempitia mbali, Nendeni mkaoane na kuonganika kitu kimoja, zingatia sana huo usemi...
 
Habari wakuu..kuna sehem nimepita nimekuta mwanamke ana lalamika kuwa ameachana na mume wake mwaka 2016. Anadai hakudai Mali kabisa ila kwasasa anataka aanze mchakato wa kudai Mali ili apate mgawanyo wake..anadai yeye ndie alie kuwa chanzo cha mume wake huyo kufanikiwa kimaisha na kuwa na mali nyingi....

Wakuu hii Mimi imenichanganya sana nashindwa kuelewa amefanikisha vipi maendeleo ya mumewe ? Au ndio kauli za kishujaa za wanawake wote ?

Mimi kwa upande wangu nimeoa Nikiwa na hela za kutosha bank ,nimeoa nikiwa na kazi ya uhakika ....baada ya kuoa nikaamua nijenge nyumba kwa hela ambazo zilikuwa kwenye account yangu ya bank..pia nimefanya mambo mengi makubwa kupitia pesa ambayo ilikuwepo banki kabla ya Mimi kuoa .....je kwa baadae mke wangu atasema yeye ni chanzo cha mali zangu ? au amechangia kupatikana kwa mali zangu ?

NB Mimi sio mbinafsi ila nataka kujua mitazamo yenu
Jiulize swali moja tu, ukifa Leo mali zako zinaenda kwa nani?
 
Mali ulizopata kabla ya kuoa n zako na haziusiani na mkeo,ila ulizopata ukiwa na mwenzako n zenu wote
 
Back
Top Bottom