Binafsi nimekua siwezi kufanya mapenzi na mwanamke ambaye mda mchache anatarajia kuanza hedhi au baada kumaliza hedhi. nahisi kinyaa sana hasa nikitafakari kua ni damu chafu imepita au inatarajia kupita hapo. Vile vile naweza ona mwanamke mzuri pisi kali katimia kila idara nikifikiria kua huenda kavaa pedi namshusha thamani kabisa.
Au huwa nawashangaa wanawake wanaoringa wakati utamu wao ni wa msimu tu...pia nawapa hongera wanaozama chumvini kwa ulimi kusafisha masalia ya damu mpaka baadhi ya mafuzi yananasa kwenye meno.
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app