Je, mwanamke anapomaliza hedhi tu anafaa kuingiliwa?

Acha kunishawishi upumbavu wako we gaidi.
 
Mbona hujisikii kinyaa kwamba hizo damu ndio zilishiriki kukutengeneza kijusi na ukapitia hapo hapo uku damu zinavuja..???

Sasa km vipi ww achana na wanawake anza kuzunguka uhubiri injili
Niachane na wanawake kivipi.. najitahidi kuvumilia ili ni wamwagie kojo zito

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mawazo yangu nilidhani wewe ni mtu mzima.🤔
 
Na wewe unazingua alicho andika hapo na uislam vina husiana nini acha chuki za kipuuzi bora unge kausha tu.

huna point hata moja zaidi ya upuuzi tu,

uwe na jaribu kuficha ujinga wako hata kwa sekunde tu.

huo sio uwanaume halisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…