green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
-
- #41
Utu uzima upiMawazo yangu nilidhani wewe ni mtu mzima.[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23] duh usawa huu kweli unakosaje, warembo kibaoWengine sisi ht hatuna pa kukojolea
Sawa endelea kupiga deki mabonge ya damu🩸
mwanamke ambaye mda mchache anatarajia kuanza hedhi au baada kumaliza hedhi.
Siku chache kabla au baada, hujaelewa nini hapo?Kilichoandikwa hapa na aliyeweka uzi unaona ametaja wakati mwanamke akiwa kwenye hedhi?
Naskia wanawake n pasua kichwa[emoji23][emoji23][emoji23] duh usawa huu kweli unakosaje, warembo kibao
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Siku chache kabla au baada, hujaelewa nini hapo?
🚮Endelea kula weed maana hata ulipoanza kuniquote hata huelewa unacho-quote
Adamu alizingua sana sijui alidanganywa vipiMbuzi anapanda thamani kila siku huku Mwanamke akishuka thamani,
Adamu anaanzakuhimili upweke ndani ya bustani akiwa peke yake na umuhim wa Eva unapungua taratibu japo hauwezi kutoweka kabisa. Ngoja tuone....
Thamani ya mwanaume lazima iwe juu.Uzi huu umewakamata wanawake pabaya n kila dume aliyeisoma lazima kuna jambo anatoka nalo
Basi nabadilika sasa yaani kumbe mimi ni bora na msafi zaidi ya hawa
Hawaaminiki watakulostisha, kaa nao kijanjaNaskia wanawake n pasua kichwa
Usiri ndio silaha pekee inayowapa nguvuBasi nabadilika sasa yaani kumbe mimi ni bora na msafi zaidi ya hawa
Tena nitawasalia ila sio kwa kushikana Mikono maana wengi kumbe wanavuja huko ashashik dàmu huku mimi sijui
Ngoja niwe mpole wasije kuniharibia uvulana wangu
Sawa sawa unakua unatafuta kambare auhata akiwa hedhi unakula tu hivohivo