Je, mwanamke anapomaliza hedhi tu anafaa kuingiliwa?

Mbuzi anapanda thamani kila siku huku Mwanamke akishuka thamani,
Adamu anaanzakuhimili upweke ndani ya bustani akiwa peke yake na umuhim wa Eva unapungua taratibu japo hauwezi kutoweka kabisa. Ngoja tuone....
 
Basi nabadilika sasa yaani kumbe mimi ni bora na msafi zaidi ya hawa

Tena nitawasalia ila sio kwa kushikana Mikono maana wengi kumbe wanavuja huko ashashik dàmu huku mimi sijui
Usiri ndio silaha pekee inayowapa nguvu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…