Je, mwanamke anapomaliza hedhi tu anafaa kuingiliwa?

Halafu huu uzi watapita kama hawaioni au wanawake wa jamii forum leo watageuka na kuwa wanaume mpaka huu uzi utoweke

Wako wapi wakina Toyeye na wengine mahiri?
 
Hayo mabonge yameshapita huko yametanuka weee ukingia mwanaume unaitwa kibamia kumbe
Wao ndio kisima kirefu cha maji au ziwe Nyasa
 
Katika sehemu chafu katika mwili wa binadamu ni mdomo na kikunyeo.

Papuchi ni kiungo kilichowekewa uwezo wa kujisafisha wenyewe. Asilimia kubwa ya wanawake wanaojutunza huwezi sikia hata harufu, mnapenda kununua malaya kisha mnajazia mstari kuwa ni wanawake wote.....

Anyway kinachopelekea damu ni yai likiwa linatoka mji wa kizazi unajijenga. Pale panapokosekana mbegu ule mji unavvunjika ndio maana unaona damu na vipande vya nyama....

Haya yote mwenyezi Mungu kayaumba, ila kuita uchafu, au kumwita mwanamke akiwa kwenye siku zake ni mchafu, INAFIKIRISHA SANA. Ina maana baada ya Mungu kumuumba mwanaume na mwanamke alifurahia uumbaji wake. Leo hii unatokea Leo kusema ni uchafu. .

Kama kweli recarnation is real, itapendeza urudi kama mwanamke. .

 
Naona unauhakika na papa [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Haya nikuulize, hii ya kuitwa wanaume kibamia kina ukweli? Hivi vipi mpini mahala peke ni kwenye kinu, ss inaingizwa kwenye ziwe Tanganyika?

Na maanisha sisi
Sio kibamia ila wao ni ziwa
 
Haya nikuulize, hii ya kuitwa wanaume kibamia kina ukweli? Hivi vipi mpini mahala peke ni kwenye kinu, ss inaingizwa kwenye ziwe Tanganyika?

Na maanisha sisi
Sio kibamia ila wao ni ziwa
Nina wasiwasi wewe ni mada katika I'd nyingine

Hata nguo zina size tofauti, kwa nini uvae nguo ambazo sio size yako
 
Duh aise hatari sana unatafuta nini au unataka umteke akulee au awe wako mazima
 
Mbona hujisikii kinyaa kwamba hizo damu ndio zilishiriki kukutengeneza kijusi na ukapitia hapo hapo huku damu zinavuja..???

Sasa kama vipi wewe achana na wanawake anza kuzunguka uhubiri injili
Ajaribu wanaume wenzie si wapo 😄😄😄😄😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…