Butho Mtenzi
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 331
- 22
hapana sio kweli mfumo ni ule ule
hapana sio kweli mfumo ni ule ule
Natumaini mpo poa wana Jf mie jamani naomba kuuliza ni kweli Mwanamke kama amewahi kutoa mimba kuna uwezekano mkubwa wa kupata mimba hata kama sio siku za hatari?
hebu kawaulize madadkrtari huko unatuletea sisi ili iweje..........................