KUNA maswala mawili apo
km kuolewa yes inawezekana ..watu wameoana wana miaka 70...km kampata mjane mwenzake au alichelewa basi poa....wanaoana
2.swala la kuzaa ni kitendawili kingine...hpfull HAWEZ KUZAAA cz ata utamaduni wa kike ule anakuwa amestop tayar...
usinisahau kwenye lunch, si unakumbuka kile kiporo cha wali na kisamvu?
ukinisahau tu, nakununia!
babu pumu eeeeeeeehh ebu kapumulie ....
mayai ya kenge unayo?