maneno mengi lakini engagement ring la jaluo nyeupe mnalikimbia! mhulumieni bana! kaweka sredi wiki ya pili sasa bado bila bila. dah!
duuuhhh umeanza uchokozi tena jamani
duuuhhh weye ngoja nikukamate hahah lol
hehehe kweli mhulumieni jamani si unaona sku hizi halog out, analala hapa hapa kwenye sredi. yaani nyinyi mnamkatili jamaa hivi hivi.
There are currently 4 users browsing this thread. (4 members and 0 guests)
huna hata kandugu ka sekondari ukampa jamaa shavu? lolmmmhh haya tena weye si wajua kuhusu mimi ... ..hahah lol
hahahhaah lol
huna hata kandugu ka sekondari ukampa jamaa shavu? lol
LOL hiyo sio mchezo, nikiona kimya sana itabidi nirudi mwanzo kupunguza vigezo kama vya umri, dini wenye watoto na walioachika yaani mpaka kieleweke mwaka huu huu 2011...........LOL
hehehe yaani imekuwa ngumu kweli, hata ka rose ujicho pia kamemtolea nje. dah! kama itashindikana jamaa itabidi awe mtakatifu tu aachane kabisa na mambo ya ndoa.mmmhh nilimwambia
tanze mambo hapa kwanza mpaka wageni
waondoke ndo tuingie chumbani
yeye naoana kama vile anaogopa..
mmmhh sasa weye huoni mambo yalivyokuwa magumu hapo
hahah lol
hehehe yaani imekuwa ngumu kweli, hata ka rose ujicho pia kamemtolea nje. dah! kama itashindikana jamaa itabidi awe mtakatifu tu aachane kabisa na mambo ya ndoa.
hehehe hamna bana, tunampigia debe mgombea wetu, kesho b4 sanraiz kiwe kimeeleweka.hahahhahaahhahha lol
kwa kweli umenichekesha..
kumbe we mchokozi sana ae..
halafu ukaweka na picha yake lol
aaa mbavu zangu lol
hehehe hamna bana, tunampigia debe mgombea wetu, kesho b4 sanraiz kiwe kimeeleweka.
heheeh wewe usiwe na waswas , mimi washkaji wote ambao nimewakalia ulawyer wa kutafta mchumba basi wameondoka na vitu made in brazil. hii ni kes ndogo sana, nitahakikisha jaluo nyeupe anaondoka na half kasti la kitusi within no time. wewe anza kuandaa sredi la michango ya harusi kabisa.hahahah lol
kwa hii kampan yako
mmhh kwakeli yuko matatani
hahaha lol
badala ya kumsaidia weye ndo unamtoa nduki hahah lol
mie naona hata mpaka sunrise na sunset ya kesho kutwa hakuna mtu kwa mtindo huu lol
maneno mengi lakini engagement ring la jaluo nyeupe mnalikimbia! mhulumieni bana! kaweka sredi wiki ya pili sasa bado bila bila. dah!
heheeh wewe usiwe na waswas , mimi washkaji wote ambao nimewakalia ulawyer wa kutafta mchumba basi wameondoka na vitu made in brazil. hii ni kes ndogo sana, nitahakikisha jaluo nyeupe anaondoka na half kasti la kitusi within no time. wewe anza kuandaa sredi la michango ya harusi kabisa.
mi sichagui kakangu ila nisichotaka ni MWANAUME MWENYE MBWEMBWE ,MAJIGAMBO,ANAYEJIBUST ...APANA
napenda mwanaume wa kawaida ..asiye na makuu ,wakawaida tu,anayevaaa simpo siyo manguo ya gharama sana apana ni kawaida tu cz i do believe mwanaume anayevaa masut daily pasipo sababu maalumu,anayevaa machen ,maviatu ya laki 5 namchululia km ana matatizo..napenda usafi na si mambo ya show off...
mwanaume kwangu ninamthamin kwa up stairs yake awe km;
..controler wangu
..director wangu
..advicer wangu
YAAN AWE KIMBILIO LANGU KWA CHOCHOTE NITAKACHOSHINDWA/UWEZO WANGU WA UBONGO UTAKAPOISHIA BAS ANIPE TAFU...n nt material thng..
sipend wanasesere au wanaojifanya km wametoka na kat ya kinshasa....m simple by nature so napendsa mwanaume simpo km mimi ..mimi sipak sjirembi ata poda sigusi iweje sasa men wangu awe abanduki dresssng trebo na mapoda kumi kumi ,wanja ,lip stk....ohhh no for that case nakuruhusu uniite nachagua sana bt MANJONJO BOY noooo apa hawana nafasi
we jaua_nyeupe mbona hujasema unamiliki nn na nn? Watu wengi tupo kimaslahi zaidi bana... Hahaaaaaaa...
maneno mengi lakini engagement ring la jaluo nyeupe mnalikimbia! mhulumieni bana! kaweka sredi wiki ya pili sasa bado bila bila. dah!