Je mwanaume mchoyo na bahili anafaa kuwa mume???.

KARIBU KEREN HAPPUCH, naona unaguna hapo ,,,lete maoni yako basi nini ushauri wako katka hili?? karibu sana.
 
MATY MATY ha ha ahahahah ha sasa umerudi kunichekesha tu,,eti utamwambia naogpa kuonana ksb utakumbushia deni lako,,,,,,hey guys u'r so funny......asanteni mnaniongezea siku za kuishi kwani KUCHEKA NA KUFURAHI NI AFYA .
 

umeona Maty eee, ndio mana nakupendaga, yaani umuache hivi hivi tu jamani mie ntaumwa..lol
 
Kimbweka naona leo kaamkia kanda ya ziwa na ndiyomaana anawasifu wanawake wa kanda ya ziwa.
 
Huyo jamaa hafai kuwa mume wa mtu, huyo dada ampige chini tu. Miaka 9 ni mingi mno kwa mkaka kutompatia mpenzi wake hata lunch.
 
NYAMAO NA MATY hili la kumkopa na kutokumlipa SIKUBALIANI nalo ksb linaweza kufata mazuri yooote miliyofanyiana wakati wa upenzi,,,pia siyo ustaarabu....lol
 
namaanisha KUFUTA,,,siyo kufata
 
ASANTE SWAWABHO kwa mchango wako,,asante sana NIMEKUELEWA.
 
Karibu maty naona umerudi tena,,,most wel come.......

Nyamayao kanikuna bwana nikashindwa kuvumilia, kuondoka mmu mchezo unaondoka lakini ukipata tu kichance unachungulia

Kimbweka hana lolote huyo anataka kuchekesha watu hapa ukumbini
Huyu kimbwe bana na yeye kaathirika ka dena huyu
 
NYAMAO NA MATY hili la kumkopa na kutokumlipa SIKUBALIANI nalo ksb linaweza kufata mazuri yooote miliyofanyiana wakati wa upenzi,,,pia siyo ustaarabu....lol

hebu huko...so huyu kaka ndio mstaarabu? hivi unajua ukiachana na mtu inabidi umuachie kaukumbusho kidogo cha kukukumbukia? huyu ndio hiki, mazuri yapi huyu kayafanya? kunidai hela ya juice ya pera? ndio mana hamuishi kulia lia ktk mapenzi umeyakremu wakati hayana formula utaacha kulizwa?...sasa huyu kaka atakukubmuka kwa lipi au wewe utamkumbuka kwa lipi? mpo kweny foleni mnaangaliana we upo hee jamani kaizer nina laki 6 yake, kaizer yupo huyu mwanamke huyu sawa tu....hahahahh mpenguzege ulokole bwana.
 
NYAMAO NA MATY hili la kumkopa na kutokumlipa SIKUBALIANI nalo ksb linaweza kufata mazuri yooote miliyofanyiana wakati wa upenzi,,,pia siyo ustaarabu....lol

Nnunu haya we, mazuri yatafutikaje wakati unampigia simu na nini mkikutana kwa bahati mbaya unamsalimia vizuri tu akianzisha habari ya deni unamwambia ndio maana nakukwepa siku hizi maana sijapata pesa. Yeye mwenye atajifunza na kukaa kimya na pengine kujirekebisha mpe muda ajifunze huyo ila usisahau huo muda unakua una pesa yake ya maana tu ulomkopa
 
WHAT????!!!!! KWELI NYAMA YAO LEO UMEPANIA,,,KWA HIYO UNAMWACHIA KUMBUKUMBU YA DENI ILI AENDELEE KUKUKUMBUKA SIYO,,,DA!!! lol
 
ASANTE SWAWABHO kwa mchango wako,,asante sana NIMEKUELEWA.

Asante kushukuru. Unajua watu wengie wanakuwa tayari kuvuta utamu kwa vitu ambavyo vimeundwa na wengine wao hawataki kuunda vya kwao. Kwa mawazo yangu kama huyo Mdada asingekuwa na kazi yake huenda huyo Mkaka asingempenda, maana mdada angekosa pesa hata ya kununua "pamba". Unajua nikwambie wengine watapinga lakini ni ukweli usiopingika kuwa ukiona vyaelea vimeundwa, havikujiunda.
 
ha hahha ha hah hah ha h Maty i wish ungeniona jinsi unavyonivunja mbavu na hizo idea zako,,,eti akikumbushia tu unamwambia ndiyo maana naogopa kuonana na wewe ksb kila tukionana issue ni deni....safiiiiiiiiii ,,,lol
 
UPO SAHIHI KABISA SAWABHO,, KILA KITU KIMEUNDWA HAKIJAJIUNDA.
Pia ni kweli sometims watu hawapendi kusema ukweli japo ndani ya moyo wao wana ukweli..........na hasa DENA amegoma kabisa kusema ukweli japo moyoni mwanke ana ukweli......YAANI MTU UWE MPOKEAJI TU FOR 9 YEARS??!! aaaah jamani hata MUNGU HAPENDI HIVI.
 
WHAT????!!!!! KWELI NYAMA YAO LEO UMEPANIA,,,KWA HIYO UNAMWACHIA KUMBUKUMBU YA DENI ILI AENDELEE KUKUKUMBUKA SIYO,,,DA!!! lol

ndio nnunu...hapo roho yangu ingefarijika sana.
 
WANA JF WENZANGU.....YAWEZEKANA HUYU ANATAKA KUCHUKUA JUMLA KSB ANAONA HAPA HAKUNA GHARAMA KABISA KILA KITU NI BUREEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE KABISA.............au nakosea jamani ,,KUNISAHIHISHA RUKSA KSB mimi naamini WATU TUNAJIFUNZA KUPITIA KUKOSOLEWA.
 
da! haya nyama yao nimekuelewa japo ,,kwangu mh mh mh!!.......kwa jinsi anavyojua kudai nahisi hata usingizi utakosa japo polisi hatakupeleka lakin hiyo kero tu ya kudaiwa da! inaweza kukunyima raha ya kuwa na pesa yake mwisho utamlipa tu.
 
Hii thread kumbe bado inaendelea??

Conclusion???? Au bado haijapatikana
 
Wapenda pesa utawajua tu, bora mtu ukajitwalie kimwana toka kanda ya ziwa anachapa kazi shambani haumwi ovyoovyo na mzigo anakupa na pesa yako haitolei jicho yeye ni shughuli tu mwe

Hiyo bluu hiyo mmmhhhh ha ha ha ha umenichekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…