Je Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi anaweza kushitakiwa yeye binafsi kuhusiana na Uwamuzi Bodi?

Kitokota

Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
13
Reaction score
4
Wanajamii ninaomba ufafanuzi wa kisheria kama inawezekana mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi anaweza kushitakiwa kutokana na uwamuzi halali wa bodi katika kikao halali cha Bodi.Tafadhali wanasheria naomba mchango.
 
kimsingi haiwezekani kwa sababu yy sio bodi nzima bali ni mumbe wa bodi.akishtakiwa ni kwa niaba ya bodi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…