Je, Mwenzangu unajua ni kwa nini?

Je, Mwenzangu unajua ni kwa nini?

Joined
Jan 3, 2024
Posts
26
Reaction score
25
Kuna hili suala la kila nyumba za ibada za kishetani zinapewa jina la kanisa na sio msikiti?

Kitu gani kinawavuta kuita kanisa badala ya msikiti ili hali kanisa ni nyumba za ibada za wakristo kama ilivyo kwa waislam msikiti.

Je, kuna mwenye majibu kuhusu hilo?
 
Kuna hili suala la kila nyumba za ibada za kishetani zinapewa jina la kanisa na sio msikiti? Kitu gani kinawavuta kuita kanisa badala ya msikiti ili hali kanisa ni nyumba za ibada za wakristo kama ilivyo kwa waislam msikiti.
Je kuna mwenye majibu kuhusu hilo?
Shetani hayupo, Mungu hayupo, hizo ni vurugu za watu tu.
 
Kuna hili suala la kila nyumba za ibada za kishetani zinapewa jina la kanisa na sio msikiti?

Kitu gani kinawavuta kuita kanisa badala ya msikiti ili hali kanisa ni nyumba za ibada za wakristo kama ilivyo kwa waislam msikiti.

Je, kuna mwenye majibu kuhusu hilo?
Kwani wenye dini yao wenyewe wanasemaje?

Ingawa kwa simple logic huwezi kumpinga unayeendana naye (coded). Watupe majibu ya kina
 
ANGALIA MUNGU KWENYE NGUVU YUPO WAPI USICHACHAWE NA MAJINA NAMANA WAKRISTO WANAENENDA KIROHO ZAIDI WAKATI WENGINE WANAENDENA KIMWILI MWILI mfano mimi unaweza kunitukania YESU WANGU MUNGU HAI KWELI KWELI lakini nikakucheck tu lakini ww ukitukaniwa MUNGU WAKO UNAANZA KUPIGANA VURUGU MTINDO MMOJA "kumbuka" SIFA KUU YA MUNGU NI KUJIPIGANIA MWENYEW SIMPLE LIKE DAT
 
Back
Top Bottom