Mbunge Wakimataifa
Member
- Jan 3, 2024
- 26
- 25
Kuna hili suala la kila nyumba za ibada za kishetani zinapewa jina la kanisa na sio msikiti?
Kitu gani kinawavuta kuita kanisa badala ya msikiti ili hali kanisa ni nyumba za ibada za wakristo kama ilivyo kwa waislam msikiti.
Je, kuna mwenye majibu kuhusu hilo?
Kitu gani kinawavuta kuita kanisa badala ya msikiti ili hali kanisa ni nyumba za ibada za wakristo kama ilivyo kwa waislam msikiti.
Je, kuna mwenye majibu kuhusu hilo?