Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Umetisha mkuu.. Naona mastar kibaooMarch 10 alizaliwa Osama, Chuck Norris, Timbaland, Shaggy, Arsane Wenger
September - september 11 USAHakuna kitu kizuri kama kumbukumbu, japo kuna kumbukumbu mbaya na nzuri. Yote ni mipango hatuna budi kushukuru
Je, mwezi uliozaliwa kuna matukio gani makubwa yanayokumbukwa duniani?
Nakuona mzee wa desembaNimezaliwa mwezi wenye sherehe nyiiingi za mwaka
Mwezi wa likizo na kula Bata
Na bado mwezi huo haujafika bado siku 6 hivi[emoji1][emoji3577]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Team october tuko pamoja...tumezaliwa na mwanamuziki anaitwa MYAOctober alizaliwa mh.Jakaya Kikwete....
Barack Obama....
Diamond Platnumz....
Mzazi mwenzie Diamond Platnumz wa kule Kenya.....
Magenius wengi.....
Wanasiasa wakubwa....
Hata TEMBO Harmonize pia....
Nami muuza Al Kasus Msomi wa Kwa Mtogole pia....
Karibuni Kahawa Kijiweni kwangu!!
Asubuhi njema,aamin.
HAKIKA MAENDELEO HAYANA VYAMA.
Naaam huku tukisherehekea christmas [emoji847]Nimezaliwa mwezi wenye sherehe nyiiingi za mwaka
Mwezi wa likizo na kula Bata
Na bado mwezi huo haujafika bado siku 6 hivi[emoji1][emoji3577]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Libraaaa.....Team october tuko pamoja...tumezaliwa na mwanamuziki anaitwa MYA
Valentine dayMimi nimeacha yote watakuja kusema wengine, cha maana nachojua, mwezi niliozaliwa mie ni mwezi wenye sikukuu kubwa kuliko zote duniani, nayo si nyingine bali ni..!.
'Sikukuu ya Wajinga'..!