Je Mzee Wasira amesusiwa Chama? Naona anapambana peke yake.

Je Mzee Wasira amesusiwa Chama? Naona anapambana peke yake.

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Zile heka heka za Ccm za zamani hatuzioni tena. Zimekufa kibudu.

Zaidi ya Chawa mmoja mmoja ambaye akifanya birthday anaweka bango la Mama kwenye Status yake ya Facebook au Whatsapp hatuoni tena watu Konki wakitoka nje kuongea na Wanachama.

Hoja zote za uchumi, siasa, afya, michezo na sanaa anaIjibu Huyu Mzee Peke yake.

Niwaase wenye chama msipomsaidia Mzee Wetu Wasira atawahi kuchoka.

Vijana wa uvccm morali imeenda wapi? Huu ni muda wa kukipambania chama.

Juzi tu mmetoka kula wali na nyama dodoma sasa mboba mmejificha? Si mwaka wa uchaguzi huu?

Wako wapi Katibu Mkuu? Yuko wapi Mwenezi?

Vipi viongozi wa mikoa, wilaya na mabaraza??
 
Zile heka heka za Ccm za zamani hatuzioni tena. Zimekufa kibudu.

Zaidi ya Chawa mmoja mmoja ambaye akifanya birthday anaweka bango la Mama kwenye Status yake ya Facebook au Whatsapp hatuoni tena watu Konki wakitoka nje kuongea na Wanachama.

Hoja zote za uchumi, siasa, afya, michezo na sanaa anaIjibu Huyu Mzee Peke yake.

Niwaase wenye chama msipomsaidia Mzee Wetu Wasira atawahi kuchoka.

Vijana wa uvccm morali imeenda wapi? Huu ni muda wa kukipambania chama.

Juzi tu mmetoka kula wali na nyama dodoma sasa mboba mmejificha? Si mwaka wa uchaguzi huu?

Wako wapi Katibu Mkuu? Yuko wapi Mwenezi?

Vipi viongozi wa mikoa, wilaya na mabaraza??
Tanganyika vijana wameisha. Wamebaki Vyawa tu
 
Kasongo katika ubora wake
 

Attachments

  • Gi72JxVWgAA0YAz.jpeg
    Gi72JxVWgAA0YAz.jpeg
    7.6 KB · Views: 1
  • Gi72JxVWgAA0YAz~2.jpeg
    Gi72JxVWgAA0YAz~2.jpeg
    15.3 KB · Views: 1
  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1739207990167~2.jpg
    FB_IMG_1739207990167~2.jpg
    18.9 KB · Views: 2
CCM kwisha habari yao. timu Sukuma Gang wanajiandaa na ukombozi.mpya kupitia Lissu.
Wamechoshwa kusukumwa na Mwenyekiti kama mikondoo machungani
Mweee......hii mpya sasa
 
Zile heka heka za Ccm za zamani hatuzioni tena. Zimekufa kibudu.

Zaidi ya Chawa mmoja mmoja ambaye akifanya birthday anaweka bango la Mama kwenye Status yake ya Facebook au Whatsapp hatuoni tena watu Konki wakitoka nje kuongea na Wanachama.

Hoja zote za uchumi, siasa, afya, michezo na sanaa anaIjibu Huyu Mzee Peke yake.

Niwaase wenye chama msipomsaidia Mzee Wetu Wasira atawahi kuchoka.

Vijana wa uvccm morali imeenda wapi? Huu ni muda wa kukipambania chama.

Juzi tu mmetoka kula wali na nyama dodoma sasa mboba mmejificha? Si mwaka wa uchaguzi huu?

Wako wapi Katibu Mkuu? Yuko wapi Mwenezi?

Vipi viongozi wa mikoa, wilaya na mabaraza??
CCM ina utaratibu. Sasa hivi ni kipindi cha Makamu Mwenyekiti CCM Bara kujinadi. Sio kama Chadema eti siku Mwenyekiti wa Chadema Taifa Lissu anatoa hotuba yake ya kwanza kwa taifa kama Mwenyekiti ndio siku hiyo hiyo na wakati huo huo Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa nae anahutubia kwingine!

Ujinga huo CCM chama kikubwa HAKIWEZI kufanya!!
 
CCM ina utaratibu. Sasa hivi ni kipindi cha Makamu Mwenyekiti CCM Bara kujinadi. Sio kama Chadema eti siku Mwenyekiti wa Chadema Taifa Lissu anatoa hotuba yake ya kwanza kwa taifa kama Mwenyekiti ndio siku hiyo hiyo na wakati huo huo Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa nae anahutubia kwingine!

Ujinga huo CCM chama kikubwa HAKIWEZI kufanya!!
Hahaha unajitetea
 
Back
Top Bottom