je n kweli watanzania tunaitaj katiba mpya?

jmasatu

New Member
Joined
Apr 25, 2013
Posts
3
Reaction score
2
Kuna wananchi weng sana waciojua katiba ii iliopo n vp inawasaidia,wananchi awa awa ndo wanaopata shida kubwa za maji,hospital,shule nk,me kwa upande wangu cdhan sana kama suluhisho ya yote aya n kua na katiba mpya,kwa wananch wa kawaida kabsa ukimuuliza kwa ss,je unaitaj katiba mpya au ajira,jbu litakua waz sana,so kwa aya yote apa juu cdhan kama serikali imepembua kwa umakin suala la katiba mpya,nchi kama canada imekua na matatizo ya katiba miaka nenda rud lakin kimaendeleo wako mbali sana.naomba maon yenu wenye mawazo tofaut na mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…