blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Ndugu zangu ifike mahala tuweke siasa pembeni sayansi ifanye kazi. Nampongeza sana Makamu wa Rais kulipua hili jipu. Tunalishwa sana sumu.
Kuna hawa dagaa wa pakiti ambao wanaonekana wemekaangwa huko walikotoka. Dagaa hawa ni wachungu sana kama klorokwini, hata uoshe vipi! Alafu ukila wanasababisha koo kuwasha na mafua.
Hawa wanahifadhiwa na nini!? Mamlaka husika embu fanyeni kazi yenu.
Kuna hawa samaki wa mtera, samaki hawa wanapigwa dawa hadi wanabadilika rangi wanakuwa weusi. Unaweza ukafikiri ni sato kumbe ni pegere. Ukila unabaki na mafua na koo kuwasha. Tuache siasa tunaumizana. Uchunguzi wa kisayansi ufanyike kwa mazao ya majini.
Kuna hawa dagaa wa pakiti ambao wanaonekana wemekaangwa huko walikotoka. Dagaa hawa ni wachungu sana kama klorokwini, hata uoshe vipi! Alafu ukila wanasababisha koo kuwasha na mafua.
Hawa wanahifadhiwa na nini!? Mamlaka husika embu fanyeni kazi yenu.
Kuna hawa samaki wa mtera, samaki hawa wanapigwa dawa hadi wanabadilika rangi wanakuwa weusi. Unaweza ukafikiri ni sato kumbe ni pegere. Ukila unabaki na mafua na koo kuwasha. Tuache siasa tunaumizana. Uchunguzi wa kisayansi ufanyike kwa mazao ya majini.