Yote, kwani hata yeye anapoamua kuruka ukuta na kuingia kwenye eneo langu, na akavunja mlango amedhamiriaNdugu yangu una mpango wa kuua au kujeruhi?
Kuua unajitafutia matatizo na hawa polisi wa "terrorist, utalii" mi nashauri fanya kuwajeruhi. Manati ukiitumia vizuri utakuja kunishukuruYote, kwani hata yeye anapoamua kuruka ukuta na kuingia kwenye eneo langu, na akavunja mlango amedhamiria
Mkuu ndugu yangu. Kama bastola yenye risasi tatu kuna watu wako kwenye kesi ya ugaidi, hicho chombo kinaweza kukupeleka mahakamani kwa kosa la kutaka kuipindua serikaliHuo si upinde ulioboreshwa? kwani kumiliki upinde hua lazima kibali?
Mganga wa JadiNnavyochukia wezi vibaka, juzi kati wamekwarua nyaya zote za kwenye nyumba yetu aisee! Hawa umbwaaaaaaaaa...naombeni mganga
Haifunguki bhana, nataka nipige watu kitu kizito wasinizoeee, Nipe tu namba nitampigia maana sitak utani.
Ukikuwa utaelewa kwa sasa malizia kucheza game hapo sebuleni kwa shemeji yako. Ila kumbuka ulipaswa kumwonea dadako huruma anapofunga mlango usiku yanayompata huko yeye ndo anajua.Tatizo wabongo mkipewa mnaenda kutambia baa, tumieni tu 'topito' ndo mliyozoea wakati mnakua mlitumia kuwindia ndege....
Nikikua nitaelewa kutamba baa na silaha ya moto? wee jamaa unaonekana kilaza sana.....tafuta topito, hizo silaha watamiliki wenye akili timamu....U
Ukikuwa utaelewa kwa sasa malizia kucheza game hapo sebuleni kwa shemeji yako. Ila kumbuka ulipaswa kumwonea dadako huruma anapofunga mlango usiku yanayompata huko yeye ndo anajua.
Wategee upupuHii kitu nayo nahitaji kibali kwa maana ya licence to carry or licence to own. Wazee wa kamati ya ulinzi na usalama tukumbudhane, nataka kuagiza kwa mchina, manake majuzi vibaka wameua mbwa wangu na wakaingia uani na kukata dirisha, bahati madifisha yangu sikutumia flat bar bali nondo, hivo wakati wanakata nondo ya kwanza nikastuka kuchungulia nikaona wajinga wawili wako nje wamevaa vichupi tu.
Bahati mbaya ndani nina panga tu. Nikapuliza filimbi wakakimbia. Lkn ningekuwa na hii kitu ningewamwaga wote kimya kimya.
View attachment 1994252
Nilifikiria kununua alarm system ya pilipili lkn ile ina tatizo moja ukisha arm system ikitokea false alarm inamwaga pilipili nyumba nzima. Lakini pia wakivunja ikimwaga pilipili sebuleni wewe pia huwezi toka chumbani japo watakuwa hawaoni hivo nawe hutoweza kutoka kuwapa kisagoWategee upupu
Ndo maana nikakwambia ukikuwa utaelewa kwa sasa huwezi elewa, kajifunze kwanza kiswahili hamna neno topito kwa kiswahili. Isipokuwa huko kwenu majita. Na wajita wengi ujuaji ndo unawasumbua na ndo maana ukienda mkoa mzima wa mara na Tanzania kwa ujumla hakuna mjita milionare. Kwa sababu ya kujimwambafai.Nikikua nitaelewa kutamba baa na silaha ya moto? wee jamaa unaonekana kilaza sana.....tafuta topito, hizo silaha watamiliki wenye akili timamu....
Sawa dada, kumbe hujui kiswahili kinaundwa pia na mchanganyiko wa maneno ya kibantu na bado maneno yake na misamiati inazidi kuzaliwa kila kukicha......sasa kama hujui maana ya neno topito wewe utakuwa ni kiazi hasa.Ndo maana nikakwambia ukikuwa utaelewa kwa sasa huwezi elewa, kajifunze kwanza kiswahili hamna neno topito kwa kiswahili. Isipokuwa huko kwenu majita. Na wajita wengi ujuaji ndo unawasumbua na ndo maana ukienda mkoa mzima wa mara na Tanzania kwa ujumla hakuna mjita milionare. Kwa sababu ya kujimwambafai.