Wakuu,
Nahitaji msaada wenu! Nina mpango wa kusoma shahada ya mtandaoni kutoka chuo kikuu cha nje. Je, kuna yeyote mwenye uelewa kama nahitaji NOC (No Objection Certificate) kutoka TCU kwa ajili ya masomo ya mtandaoni?
Nimesikia kwamba NOC inahitajika kwa wanafunzi wanaosoma nje ya nchi, lakini sijui kama hii inatumika pia kwa masomo ya mtandaoni.
Nasubiri maoni yenu.
Nahitaji msaada wenu! Nina mpango wa kusoma shahada ya mtandaoni kutoka chuo kikuu cha nje. Je, kuna yeyote mwenye uelewa kama nahitaji NOC (No Objection Certificate) kutoka TCU kwa ajili ya masomo ya mtandaoni?
Nimesikia kwamba NOC inahitajika kwa wanafunzi wanaosoma nje ya nchi, lakini sijui kama hii inatumika pia kwa masomo ya mtandaoni.
Nasubiri maoni yenu.