Ukiwaondoa Viongozi wa 3 wakubwa wa Serikali Rais Mama Samia ,Makamu wa Rais Mr Mipango na Waziri Mkuu Mr Kassim Majaaliwa.
Viongozi Waliobakia wote ni wabovu hakuna hata mmoja mzuri si wabunge na wala Sio Viongozi wa Serikali na chama cha CCM yenyewe kibovu Kimepitwa na wakati.