Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya kwanza?

Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya kwanza?

KAKA NASOKI

Senior Member
Joined
May 25, 2016
Posts
191
Reaction score
212
Nilikutana na maneno yafuatayo.

i. Kama ndoto yako haijatimia endelea kulala.

ii. We lala si tufanye kazi utakula ulichokiota.

Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya kwanza?
 
Namba mbili ni muendelezo wa namba moja.
 
Back
Top Bottom