JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,197
Unataka spoon feeding?WaTanzania tuna shida sana.yaani hili ndiyo jibu kwa mtoa swali?
Kuna namna nyingi za kujibu swali ikiwemo kumuuliza maswali ili kumfanya muuliza swali ajijibu mwenyewe. Au umezoea Spoon feeding?Mtu anaweza kuuliza swali serious lakini akajibiwa pumba Sana.
Humu kuna losers wengi sana ambao hawajui umuhimu wa kujibu vitu serious kwa u serious.
Kuna namna nyingi za kujibu swali ikiwemo kumuuliza maswali ili kumfanya muuliza swali ajijibu mwenyewe. Au umezoea Spoon feeding?
mkuu kuna watu wanajibu pumba sana naona niwapotezee tu, BACK TO YOUR POINT ni kwambaNikita mdogo niliambiwa eti 1.- 11 ni kwa ajili y'all First Eleven.
Lakini baadae nimekuja kuona first eleven wakiwa na namba nje ya hizo.
Inawezekana ni vile aliyekuwa starter anapoteza kiwango, aliyekuwa bench anaanza na namba haibadiliki.
Ila kiuhalisia swali la jamaa ni la msingi, sema watu wanajoke.
acha kufata mkumbo wewe , spoon fd kvp kwa hyo nikijibu jez ya samata ndo ntakua nimepata jbu langu, we hujawah kuchek mchezaji nguli akisajiliwa wanatangaza tunampa no ngap tena unakuta badae anabadilishiwaKuna namna nyingi za kujibu swali ikiwemo kumuuliza maswali ili kumfanya muuliza swali ajijibu mwenyewe. Au umezoea Spoon feeding?
Mkubwa namba ni utambulisho ukiwa uwanjani ndo maana mchezaji akifanya kosa refa anandika namba ya mchezaji usika na sio jinamkuu kuna watu wanajibu pumba sana naona niwapotezee tu, BACK TO YOUR POINT ni kwamba
hata mimi nilikua najua hv ila nikafatilia , bd ckupata jbu mfano aishi maula anavaa jez no 28 na yupo first eleven pia hata samata nae alianza na 77 then 10, ona okwi anavaa no 7 kama ckosei kutakua na maana flan ,
sired ndo ninin?..Kajifunze kuandika kwanzaMtoa sired unaitwa huku utoe jibu
Post #26 imeshajibu mkuuHili swali halijapatiwa majibu. Kinachoulizwa hapo ni ZINA MAANA GANI sio za nini.