HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Je, nani mhusika wa hizi Jezi feki mitaani?
Je, ni watengenezaji huamua kurudufu kwa mlango wa nyuma ili Club zisipate?
TBS, Simba, Yanga, Vunjabei, GSM, TISS, TPA, TRA, FCC, TAA
Hakuna kinachoingia nchini kwa wingi bila watajwa juu kuhusika.
Je huko bandarini na Airport inakuwaje Jersey feki zinapita?
Je wahusika wameamua kukaa kimya na kuacha liwalo na liwe?
Hizi Club, Simba na Yanga zinafaidi kwenye hizi jersey feki, maana wao ndo walitakiwa valia njuga zisiwepo mtaani kwani uwepo wa jersey feki nyingi maana yake vilabu havipati....
Je Watengenezaji wanahusika, maana haiwezekani mtengenezaji anatoa hela nyingi afu mwisho wa siku anakuta feki zimejaa KKOO...
Je, Serikali imeruhusu na inalinda ili ipate kodi?
NB: Leo nimekuta Jersey za Yanga zikiuzwa Mtaa wa Raha Kariakoo, zinauzwa chini na hizi jersey hazina hata wiki ila tayari feki zipo, je GSM anahusika ili apate kupitia mlango wa nyuma?
Hebu tujadili bila ushabiki
Je, ni watengenezaji huamua kurudufu kwa mlango wa nyuma ili Club zisipate?
TBS, Simba, Yanga, Vunjabei, GSM, TISS, TPA, TRA, FCC, TAA
Hakuna kinachoingia nchini kwa wingi bila watajwa juu kuhusika.
Je huko bandarini na Airport inakuwaje Jersey feki zinapita?
Je wahusika wameamua kukaa kimya na kuacha liwalo na liwe?
Hizi Club, Simba na Yanga zinafaidi kwenye hizi jersey feki, maana wao ndo walitakiwa valia njuga zisiwepo mtaani kwani uwepo wa jersey feki nyingi maana yake vilabu havipati....
Je Watengenezaji wanahusika, maana haiwezekani mtengenezaji anatoa hela nyingi afu mwisho wa siku anakuta feki zimejaa KKOO...
Je, Serikali imeruhusu na inalinda ili ipate kodi?
NB: Leo nimekuta Jersey za Yanga zikiuzwa Mtaa wa Raha Kariakoo, zinauzwa chini na hizi jersey hazina hata wiki ila tayari feki zipo, je GSM anahusika ili apate kupitia mlango wa nyuma?
Hebu tujadili bila ushabiki